Chuo Kikuu cha Assiut

chuo kikuu cha umma huko Misri
Pitio kulingana na tarehe 14:29, 14 Julai 2024 na Riccardo Riccioni (majadiliano | michango) (→‎Marejeo)
(tofauti) ← Pitio lililotangulia | Toleo la sasa (tofauti) | Pitio linalofuata → (tofauti)

Chuo Kikuu cha Assiut ni chuo kikuu kilichopo Assiut, Misri. Kilianzishwa mwezi Oktoba 1957 na ni chuo kikuu cha kwanza katika Ukanda wa Juu wa Misri.[1]

Takwimu

hariri
  • Wanachama wa Idara: 2,442  
  • Wahadhiri wasaidizi na waonyeshaji: 1,432  
  • Wafanyakazi wa utawala: 11,686  
  • Wasaidizi wengine wa huduma: 3,815[2]

Vyuo na taasisi

hariri

Chuo kikuu kina Idara 16 na taasisi tatu.

  • Idara cha Sayansi
  • Idara cha Uhandisi
  • Idara cha Kilimo
  • Idaracha Tiba
  • Idara cha Dawa
  • Idara cha Tiba ya Mifugo
  • Idara cha Biashara
  • Idara cha Elimu
  • Idara cha Sheria
  • Idaracha Elimu ya Viungo
  • Idara cha Uuguzi
  • Idaracha Elimu Maalum
  • Idara cha Elimu (Kampasi ya Mkoa ya Bonde Jipya)
  • Idara cha Kazi za Jamii
  • Idaracha Sanaa
  • Idara cha Kompyuta na Habari
  • Idara cha Meno
  • Idaracha Teknolojia ya Sukari na Viwanda Vilivyounganishwa
  • Idaraya Saratani ya Kusini mwa Misri (SECI)
  • Idaraya Ufundi ya Uuguzi
  • Idaracha Kilimo (Tawi la Bonde Jipya)

Wahitimu mashuhuri

hariri

Marejeo

hariri
  1. "Assiut University". www.4icu.org. Iliwekwa mnamo 14 Februari 2013.{{cite web}}: CS1 maint: date auto-translated (link) - "Egypt". www.webometrics.info. Iliwekwa mnamo 14 Februari 2013.{{cite web}}: CS1 maint: date auto-translated (link) - "Research from Assiut University, Medical Department in the area of liver cirrhosis published". Health & Medicine Week. 12 Februari 2008. Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 24 Septemba 2015. Iliwekwa mnamo 14 Februari 2013.{{cite web}}: CS1 maint: date auto-translated (link)
  2. "Assuit University History". Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2014-10-21. Iliwekwa mnamo 2014-09-22.