Karl Benz
Mandhari
Karl Friedrich Benz [[Kijerumani: (kaɐ̯l ˈfʁiːdʁɪç ˈbɛnts)]]alizaliwa tarehe 25 november 1844 [[Mühlburg (Karlsruhe)]]nchini Ujerumani akiwa na jina la Karl Friedrich Michael Vaillant na kufariki tarehe 4 april 1929.Alikuwa na ubunifu wa injini na akatengeneza injini yake inayoitwa [[Benz Patent Motorcar ]],kutoka mwaka 1885 hiyo ndiyo iliyokuwa ni gari la kwanza.