Nenda kwa yaliyomo

Kikambera

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
The printable version is no longer supported and may have rendering errors. Please update your browser bookmarks and please use the default browser print function instead.

Kikambera (pia Kisumba-Mashariki au Kihilu-Humba) ni lugha ya Kiaustronesia nchini Indonesia inayozungumzwa na Wakambera kwenye kisiwa cha Sumba. Mwaka wa 2009 idadi ya wasemaji wa Kikambera imehesabiwa kuwa watu 240,000. Kufuatana na uainishaji wa lugha kwa ndani zaidi, Kikambera iko katika kundi la Kisumba-Hawu.

Viungo vya nje

Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Kikambera kama historia yake, uenezi au maendeleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.