Nenda kwa yaliyomo

Papa Sergio III

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
(Elekezwa kutoka Papa Sergius III)
The printable version is no longer supported and may have rendering errors. Please update your browser bookmarks and please use the default browser print function instead.
Papa Sergio III.

Papa Sergio III alikuwa Papa kuanzia tarehe 29 Januari 904 hadi kifo chake tarehe 14 Aprili 911[1]. Alitokea Roma, Lazio, Italia[2].

Jina lake la kuzaliwa pia lilikuwa Sergius.

Alimfuata Papa Leo V akafuatwa na Papa Anastasio III.

Tazama pia

Tanbihi

Viungo vya nje

Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Papa Sergio III kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.