Nenda kwa yaliyomo

Daniel Comboni

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
(Elekezwa kutoka Daniele Comboni)
Daniel Comboni

Amezaliwa 15 Machi 1831
Feast

Daniele Comboni (Limone sul Garda, Italia 15 Machi 1831 - Khartoum, Sudan, 10 Oktoba 1881), alikuwa askofu mmisionari wa Kanisa Katoliki nchini Sudan, akijitosa bila kujibakiza katika kuhubiri Injili na kuhudumia kwa kila namna heshima ya binadamu wa maeneo yale [1].

Ndiye aliyeanzisha mashirika ya Wamisionari wa Moyo Mtakatifu wa Yesu na Masista wa Afrika, wanaojulikana kama Wamisionari Wakomboni na Masista Wakomboni.

Alitangazwa na Papa Yohane Paulo II kuwa mtakatifu tarehe 5 Oktoba 2003.

Sikukuu yake ni 10 Oktoba[2].

Daniele Comboni alikuwa moja kati ya ndugu wanane, lakini ndugu zake walifariki wote walipokuwa watoto.

Daniele aliacha wazazi wake alipokuwa na miaka 12 na alienda Verona kusoma kwenye shule ya padri Nicola Mazza ambapo alichagua kuwa padri na kwenda Afrika kama mmisionari.

Alifika Misri na wamisionari wengine watano (1857). Wote waliendelea hadi kufika Sudan kusini.

Baada ya miaka miwili Daniele alirudi Italia kwa sababu wamisionari wenzake walifariki huko Sudan.

Siku moja, alipokuwa akiomba ndani ya basilika la Mt. Petro mjini Roma alitafakari kuhusu njia ya kueneza Injili barani Afrika.

Aliandika “Mpango ya Kuirudishia Afrika Uhai”. Katika mpango huu Comboni alisema ya kwamba ni lazima kusaidia Waafrika kukua katika elimu ili wenyewe waweze kupanga maendeleo yao.

Mwaka 1867 alianza shirika la mapadre na mabruda.

Mwaka 1877 alipewa na Papa daraja takatifu ya askofu ili kujenga Kanisa katika Afrika ya Kati (Sudan, Sudan Kusini, Uganda, Kenya ya leo).

Daniele Comboni aliaga dunia tarehe 10 Oktoba 1881.

Tazama pia

[hariri | hariri chanzo]
  • Daniele Comboni, Gli Scritti, 10 voll., Roma 1983-1988; 1 vol., Bologna 1991, 2207 pp.
  • Positio super virtutibus, 2 volumi, Roma 1988, 1480 pp.
  • Michelangelo Grancelli, Mons. Daniele Comboni e la Missione dell'Africa Centrale, Verona 1923, XIV-478 pp.
  • Agostino Capovilla, Il Servo di Dio Mons. Daniele Comboni, Verona 1928, VIII - 330 pp.
  • Clemente Fusero, Daniele Comboni, Bologna 1953, 318 pp. (edizioni spagnola, portoghese).
  • Aldo Gilli - Pietro Chiocchetta, Il messaggio di Daniele Comboni, Bologna 1977, 472 pp. (edizioni in inglese, francese, spagnolo, portoghese, tedesco).
  • Pietro Chiocchetta, Carte per l'evangelizzazione dell'Africa, Bologna 1978, 335 pp. (edizioni inglese, francese)
  • Aldo Gilli, L'Istituto missionario comboniano dalla fondazione alla morte di Daniele Comboni, Bologna 1979, 431 pp. (edizione inglese).
  • Autori Vari, L'Africa ai tempi di Daniele Comboni, Roma 1981, 470 pp.
  • Domenico Agasso, Daniele Comboni profeta dell'Africa, Bologna 1981, 131 pp. (edizione spagnola)
  • Elisea Pezzi, L'Istituto Pie Madri della Nigrizia. Storia dalle origini fino alla morte del Fondatore, Bologna 1981, 334 pp.
  • Arnaldo Baritussio, Daniele Comboni: Regole del 1871, Roma 1983, 176 pp. (edizione francese).
  • Juan Manuel Lozano, Cristo è anche nero, Bologna 1989, 302 pp. (edizioni in inglese, francese, spagnolo, portoghese).
  • Postulazione generale, Le opere di Dio sono così, Roma 1991, 256 pp. (edizioni inglese, francese).
  • Domenico Agasso, Comboni, un profeta per l'Africa, Cinisello Balsamo 1991, 288 pp. (edizione francese).
  • Lorenzo Gaiga, Daniele Comboni, La missione continua, Bologna 1995, 176 pp.
  • Juan Manuel Lozano, Vostro per sempre (Daniele Comboni), Bologna 1996, 792 pp.
  • Gianpaolo Romanato, Daniele Comboni, L'Africa degli esploratori e dei missionari, Milano 1998, 368 pp.
  • Antonio Furioli, Saggi di spiritualità su Daniele Comboni, Morcelliana, Brescia 1982, 2ª ed., 148 pp.
  • Antonio Furioli, Comboni ieri e oggi, San Paolo, Milano 2004, 123 pp.
  • Antonio Furioli, Il mistero della croce nella vita e negli scritti di Daniele Comboni, PUG, Roma 1987, 246 pp.
  • AAVV, Daniele Comboni, fra Africa ed Europa, Bologna 1998, 320 pp.
  • AAVV, a cura di Fulvio De Giorgi, Daniele Comboni fra Africa ed Europa. Saggi storici, EMI, 1998, 320 pp.
  • Arnaldo Baritussio, Cuore e missione. La spiritualità del cuore di Cristo nella vita e negli scritti di Daniele Comboni, EMI, 2000, 224 pp.
  • Alessandro Pronzato, La sua Africa. Daniele Comboni, Gribaudi, 2003, 320 pp.
  • Gianpaolo Romanato, L'Africa Nera fra Cristianesimo e Islam. L'esperienza di Daniele Comboni (1831-1881), Corbaccio, 2003, 454 pp.
  • Cirillo Tescaroli, Daniele Comboni. Un cuore per l'Africa, EMI, 2003, 64 pp.
  • Fidel Fernández González, Daniele Comboni e la rigenerazione dell'Africa. Piano, postulatum, regole, Editore Urbaniana University Press, 2003, 392 pp.
  • Antonio Furioli, La notte apostolica, Nerbini ed., Firenze 2007.
  • Autori Vari, Humanitas (2008). Vol. 1: Daniele Comboni e l'Africa, Editrice Morcelliana, 2008
  • Giordano Stella, Daniele Comboni. Il vescovo africano, Editore Marcianum Press, 2009, 245 pp.
  • Domenico Zugliani, San Daniele Comboni. Biografia a partire dagli scritti, EMI, 2009, 144 pp.
  • Antonio Furioli, San Daniele Comboni e il sangue di Cristo. Tra memoria storica, ricerca ed ermeneutica dei "Pignora Sanguis Christi"., Nerbini ed., Firenze 2012.
  • Antonio Furioli, Il sogno di un uomo. San Daniele Comboni (1831-1881), Edizioni San Paolo, Milano 2013, 93 pp.(edizioni in francese, inglese, portoghese, spagnolo, tedesco).
  • Antonio Furioli, "Un binomio indissolubile:Comboni e l'Africa, Nerbini ed., Firenze 2018.

Viungo vya nje

[hariri | hariri chanzo]
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.