Nenda kwa yaliyomo

Tembo-bahari

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
The printable version is no longer supported and may have rendering errors. Please update your browser bookmarks and please use the default browser print function instead.
Tembo-bahari

Uainishaji wa kisayansi
Himaya: Animalia (Wanyama)
Faila: Chordata (Wanyama wenye ugwe wa neva mgongoni)
Ngeli: Mammalia (Wanyama wenye viwele wanaonyonyesha wadogo wao)
Oda: Carnivora (Wanyama mbua)
Nusuoda: Caniformia (Wanyama kama mbwa)
Familia: Phocidae (Wanyama walio na mnasaba na sili)
Jenasi: Mirounga
Gray, 1827
Ngazi za chini

Spishi 2:

Msambao wa tembo-bahari kaskazi (buluu)
Msambao wa tembo-bahari kaskazi (buluu)
Msambao wa tembo-bahari kusi (feruzi)
Msambao wa tembo-bahari kusi (feruzi)

Tembo-bahari (kutoka Kijerumani: see-elefant; jenasi Mirounga) ni wanyama wakubwa wa Bahari ya Pasifiki na Bahari ya Kusini wenye mkonga mfupi kama tembo.

Spishi

Makala hii kuhusu "Tembo-bahari" inatumia neno (au maneno) ambalo si kawaida na matumizi yake ni jaribio la kutafsiri neno (au maneno) la asili see-elefant kutoka lugha ya Kijerumani. Neno (au maneno) la jaribio ni tembo-bahari.
Wasomaji wanaombwa kuchangia mawazo yao kwenye ukurasa wa majadiliano ya makala.

Kamusi za Kiswahili ama zinatofautiana kuhusu matumizi ya neno hili au hazieleweki au hazina neno kwa jambo linalojadiliwa.