Ardabil
Mandhari
![](http://178.128.105.246/cars-http-upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/b/bf/Ardabil_skyline_2019_4.jpg/250px-Ardabil_skyline_2019_4.jpg)
![](http://178.128.105.246/cars-http-upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/2/28/6%D9%85%D9%82%D8%A8%D8%B1%D9%87_%D8%B4%DB%8C%D8%AE_%D8%B5%D9%81%DB%8C_%D8%A7%D9%84%D8%AF%DB%8C%D9%86_%D8%A7%D8%B1%D8%AF%D8%A8%DB%8C%D9%84%DB%8C.jpg/250px-6%D9%85%D9%82%D8%A8%D8%B1%D9%87_%D8%B4%DB%8C%D8%AE_%D8%B5%D9%81%DB%8C_%D8%A7%D9%84%D8%AF%DB%8C%D9%86_%D8%A7%D8%B1%D8%AF%D8%A8%DB%8C%D9%84%DB%8C.jpg)
Ardabil (pia Ardabīl na Ardebīl , Kiajemi na Kiazeri : اردبیل) ni mji wa kihistoria kaskazini-magharibi mwa Iran. Jina Ardabil linatokana na jina la Kiajemi cha kale "Artawila", likimaanisha mahali patakatifu. [1] Ardabil ni makao makuu wa Mkoa wa Ardabil . Katika sensa ya 2011, idadi ya wakazi ilikuwa 564,365 katika familia 156,324, Wakazi wengi ni Waazeri. [2] [3] Ardabil pia inajulikana kwa patakatifu na kaburi la Safî ad-Dîn na jina lake lilikuwa chanzo cha nasaba ya wafalme wa Safavi .
Marejeo[hariri | hariri chanzo]
- ↑ Iranian Provinces: Ardabil
- ↑ "Ardabil". Looklex Encyclopaedia. Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2013-09-28. Iliwekwa mnamo 2013-08-13.
- ↑ "Ardabīl". Encyclopædia Britannica. Iliwekwa mnamo 2013-08-13.
Tovuti za Nje[hariri | hariri chanzo]
- Vivutio vya Watalii vya Ardabil Archived 28 Machi 2010 at the Wayback Machine.
- http://www.irantour.org/Iran/province/ardabil.html Archived 7 Juni 2008 at the Wayback Machine. .
- http://www.travel-images.com/az-ardebil.html