Wizara ya Utamaduni na Utalii (Uturuki)
Mandhari
Wizara ya Utamaduni na Utalii (Kituruki: Kültür ve Turizm Bakanlığı) ni ofisi ya wizara ya serikali ya Jamhuri ya Uturuki, inahusika na masuala ya utamaduni na utalii nchini Uturuki.
![Jengo la wizara ya utamaduni na utalii nchini Uturuki mwaka 2019](http://178.128.105.246/cars-http-upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/8/87/K%C3%BClt%C3%BCr_ve_Turizm_Bakanl%C4%B1%C4%9F%C4%B1_%2827.02.2019%29_02.jpg/220px-K%C3%BClt%C3%BCr_ve_Turizm_Bakanl%C4%B1%C4%9F%C4%B1_%2827.02.2019%29_02.jpg)
Kwa mwaka wa 2018, inaongozwa na Mehmet Ersoy.[1]
Marejeo
[hariri | hariri chanzo]Viungo vya Nje
[hariri | hariri chanzo]- Official site
- Tourism portal Archived 5 Julai 2008 at the Wayback Machine.
- Tourism Strategy of Turkey - 2023 (2007)
Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |