Li Bai
Mandhari
![](http://178.128.105.246/content-http-upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/4/4c/LiBai.jpg/200px-LiBai.jpg)
Li Bai (mnamo 701-762) alikuwa mshairi nchini China wakati wa nasaba ya Tang. Mara nyingi hutajwa kama mmoja wa washairi wakubwa wa China. Zaidi ya mashairi yake 1,000 yamehifadhiwa.
Li Bai (mnamo 701-762) alikuwa mshairi nchini China wakati wa nasaba ya Tang. Mara nyingi hutajwa kama mmoja wa washairi wakubwa wa China. Zaidi ya mashairi yake 1,000 yamehifadhiwa.