Kaizari Maximilian I
Mandhari
![](http://178.128.105.246/host-http-upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/3/35/Albrecht_D%C3%BCrer_-_Portrait_of_Maximilian_I_-_Google_Art_Project.jpg/220px-Albrecht_D%C3%BCrer_-_Portrait_of_Maximilian_I_-_Google_Art_Project.jpg)
Maximilian I (22 Machi 1459 – 12 Januari 1519) alikuwa Kaizari wa Dola la Ujerumani kuanzia 1493 hadi kifo chake. Alimfuata baba yake Federiki III, na kufuatiwa na mjukuu wake Karoli V.
![]() |
Makala hii kuhusu Kaizari fulani wa Ujerumani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Kaizari Maximilian I kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |